KIONGOZI Mkuu wa jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Songea , Mhashamu Askofu Norbeth Mtega amejizulu. Taarifa za kujiuzulu kwa kiongozi huyo zilipatikana jana saa saba mchana zikieleza kuwa Askofu Mtega alikuwa ametembelea Abasia ya Wabeneditini iliyopo Hanga wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Mhashamu Askofu...

Na Happiness Katabazi, Dar es salaam MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeufuta uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Saalam, uliomuona Mkurugenzi wa kampuni ya Richmond...

SIKU chache baada ya gazeti la Mtanzania kuripoti madhara yanayosababishwa na kinywaji aina ya soda, katika utafiti wake gazeti hilo limebaini mengine mapya. Kwa mujibu wa utafiti huo,...

Dennis Kimambo. Photo by David Sasaki and used under a CC BY-NC 2.0 license. Rising Voices note: This tribute post was written by Janet Feldman, upon learning about the death of Dennis Kimambo of the Rising Voices grantee project REPACTED on April 29, 2013. At the time of publication, the circumstances...

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza bibi Margaret Thatcher, mwanamke anayeelezwa kuwa mwanamke shupavu kuwahi kuwa madarakani nchini Uingereza na mwanamke pekee kuwahi kushika wadhifa huo...

LONDON: Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza, ambaye pia ndiye Waziri Mkuu pekee mwanamke kuwahi kushika wadhifa huo katika taifa hilo, Bi. Margaret Thatcher, amefariki dunia akiwa na umri...

Bila kuathiri imani ya mtu yeyote, hapa ni sehemu ya mahubiri ya mmoja wa wachunga kondoo wetu, ambaye ni maarufu sana kwa jina la Mzee wa Upako. Huyu ni mchungaji Lusekelo, ambaye jana nilijikuta nikiangalia mahubiri yake kupitia TV. Kilichonigusa sana ni aina ya mahubiri yaliyokuwa yakitolewa, maana...

Ni jambo la kawaida sana kwa kina mama wajawazito na hususan wale ambao ndio inakuwa mara yao ya kwanza kukumbana na mabadiliko mbalimbali ya kimwili, kiafya na hata kiakili baadhi ya...

Wakati wa Enzi za uhai wake, hayati baba wa taifa, mwalimu Julius Kambarage Nyerere, alipokuwa akiongelea kuhusu Muungano wa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, uliozaa Jamhuri ya Muungano...

Wiki kadhaa zikiwa zimeshapita huku sakata la msanii Naseeb Abdul aka Diamond, kurekodi maongezi yao ya simu baina yake na aliyewahi kuwa mwenza wake Wema Sepetu, na kisha kuyaanika hadharani, na huku issue hiyo ikiwa kama inaanza kupotea masikioni mwa wafuatiliaji wa mikasa ya wawili hao, hatimaye msanii...

Msanii mahiri wa nyimbo za Injili nchini, Florah Mbasha, hivi karibuni alikuwa nchini Uingereza kwa shughuli zake za kimuziki ambapo pamoja na mambo mengine alipata pia wasaa wa kufanya...

Unyanyapaa kwa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), bado ni tatizo kubwa sana hasa katika zama hizi ambapo kusakwa kwa ndugu zetu hawa limeendelea kuwa jambo lenye kushamiri katika...

Msanii mkongwe ambaye hivi sasa anazidi kutawala vichwa vya habari kutokana na mzozo baina yake na waliowahi kuwa mabosi wake, Judith Wambura aka Lady Jay Dee, aka binti Komando, aka Anaconda …. ameamua kufunguka kuhusu maswali ambayo yameendelea kumiminika katika kurasa zake kwenye mitandao ya kijamii,...

Nahodha wa zamani wa timu ya soka ya Uingereza, David Beckham anatarajia kuhitimisha rasmi miaka yake 20 katika ulimwengu wa soka, ifikapo mwishoni mwa msimu huu. Kiungo huyo mwenye...

London, Uingereza Licha ya kuwa na uhakika wa kuendelea kuwepo katika Ligi Kuu ya Soka ya Uingereza msimu ujao, kocha wa klabu ya Sunderland, Paul Di Canio, amewachimba mkwara wachezaji...

Mimi ni Jane naishi mwenge Dar es salaam naomba utalifuta jina la baba yangu maana sitaki liwe kwenye blog watu watanijua na kuniangamiza maana nimeshawaangamiza wengi sana kwa UKIMWI ila mengine yote usifute hata moja ili dunia ijue tu japokua mimi nitakufa kwa huu ukimwi nilionao. Nilizaliwa mkoa wa Dodoma...

Don’t get me wrong: In general, men are in awe of women’s date-night conversation skills — which are, hands down, far superior to their own. Even so, though, you ladies...

You’ve probably chatted successfully enough to get her number, but now that you’ve got to fill possibly hours of unstructured conversational time, what do you say? Allow us...

Imeandaliwa na John Haule wa Rumours Africa Mstari wa rizki katika Wiki jana tuliuzungumzia mstari wa maisha au Life Line. Tuliona faida za kuutumia mstari huo kujijua ulivyo na kujua unatakiwa ufanyaje ili kufanikisha mambo yako maishani, na pia tuliona hasara za kutojua kuusoma mstari huo pia. Wapo...

Imeandaliwa na John Haule wa Rumours Africa Wiki jana nilihadithia namna watu wenye mstari wa mahusiano wa aina yoyote walivyo. Samahani msomaji wangu, hakuna chenye faida bila hasara...

Imeandaliwa na John Haule wa Rumours Africa Kama ilivyo kawaida ya Rumours Africa, kila siku ipo kazini kukuletea minong’ono ya mambo yaliyo jificha katika jamii yetu bila kujali aina...

Na Saleh Ally MGOGORO wa kimuziki kati ya msanii Judith Wambura Mbibo ‘Lady Jaydee’ na kituo kimoja cha redio umezidi kuchukua kasi huku makundi mawili, kila moja likitengeneza ngome yake na kuamini linachoamini. Kundi ambalo linamuunga mkono Jaydee na kumuona ni mkombozi, anazungumza kwa...

Na Happiness Katabazi FUATANA na mwandishi wa makala haya Happiness Katabazi ambaye ni mwandishi wa habari za mahakamani hapa nchini, ili uweze kufahamu kesi ya uchochezi na wizi wa malighafi...

Tumesikitishwa kupata taarifa kwamba watu 5,358 wanaoishi na Virusi vya UKIMWI (VVU) waliokuwa kwenye matibabu wameacha kutumia dawa za kupunguza makali ya ugonjwa huo (ARVs), mkoani Dodoma. Taarifa...

Mwanamke mmoja anayetajwa kwa jina la Elizabeth Bureko mwenye umri wa miaka 26, mkazi wa Kata ya Nyamatare, Manispaa ya Musoma, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Musoma, kwa tuhuma za kumchoma na moto sehemu za siri mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane.  Mbele ya Hakimu Mkazi...

Hiki ndicho alichoandika Hammer Q katika ukurasa wake wa FB akiomba radhi kwa Watanzania kutokana na kitendo chake cha kijinga alichokifanya cha kumpiga na kumjeruhi vibaya mke wake: Mambo...

Kama ulidhani kuwa ule ujinga ujinga unaofanywa pale mjengoni unakukwaza wewe mwenyewe hapo ulipo, basi ulikosea, maana aibu zinazosababishwa na viongozi wetu hao zimevuka mipaka. Zinaonekana...

SIKU chache baada ya gazeti la Mtanzania kuripoti madhara yanayosababishwa na kinywaji aina ya soda, katika utafiti wake gazeti hilo limebaini mengine mapya. Kwa mujibu wa utafiti huo, imebainika kuwa soda imepigwa marufuku kutumiwa na watoto walio na umri chini ya miaka 12 na walio shuleni katika baadhi...

Hivi karibuni, Mtendaji Mkuu wa Exim Bank, Dinesh Arora, alifanya ziara ya kutembelea tawi la benki hiyo lililoko jijini Mbeya, kwa lengo la kujionea shughuli zinavyoenda huko, pamoja...

EXIM Bank, Tanzania’s sixth largest bank by total assets and deposits has opened a Tanzania-China Trade Window that will help in facilitating trade operations between the two countries. A...

Jukwaa Huru