Akamatwa uwanja wa Mwl Nyerere, akisafirisha bangi za milioni 12 kuelekea Uturuki
uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. Nyerere POLISI imemkamata Miriam Mohamed (29), kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam, akitaka kusafirisha dawa za kulevya aina ya bangi More...
Uteuzi wa wakuu wa wilaya…ni uundwaji wa mtandao wa ushindi mwaka 2015?
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda BAADA ya kufanyika kwa mabadiliko katika Baraza la Mawaziri hivi karibuni, Rais Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya zote More...
Mmeyaona ya Nassary, vipi ya kikundi cha uamsho wa kiislamu cha Zanzibar?
Na Mwanaharakati Mwanawavitto Kiraro Kauli ya Mbunge wa Arumeru mashariki mhe, JOSHUA NASSARY imezua gumzo kubwa katika maeneo mbalimbali nchini, wakati hayo yakiendelea Nassary More...
Wakati tukiadhimisha siku ya wanahabari…je, waandishi tunamtendea haki Lulu?
Baadhi ya vichwa vya habari ambayo ni wazi vinaumba picha ya namna fulani vichwani mwa jamii inayozisoma habari zenyewe na kufuatilia sakata la Lulu Takriban mwezi mmoja sasa More...
Taarifa rasmi ya klabu ya Simba kuhusu kifo cha Patrick Mutesa Mafisango
Simba Sports Club PATRICK Mutesa Mafisango (32), mchezaji tegemeo wa Simba SC amefariki dunia jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo katika eneo la Keko jirani na Chuo cha More...
Wakati wakijiandaa kwa Kagame, Minziro agoma hadi alipwe chake
Fredy Felix Minziro KOCHA msaidizi wa Yanga, Fred Felix Minziro amesema hataifundisha timu hiyo inayojiandaa kutetea taji la michuano ya Kombe la Kagame kama uongozi wa klabu More...
Mabenki yaombwa kupunguza riba kwa mikopo ya kilimo
Moja kati ya mabenki yenye kutoa huduma ya mikopo ya kilimo nchini WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amezitaka benki nchini kutoa More...
Wafanyakazi 7 Twiga Bancop wadaiwa kuiba mil 704/-
nembo ya Twiga Bancorp WAFANYAKAZI saba wa Benki ya Twiga Bancop wameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu More...
Polisi wadaiwa milioni 80 na mamlaka ya maji
POLISI mkoani hapa inadaiwa Sh milioni 80 za huduma ya maji iliyotolewa na Mamlaka ya Maji...
TCRA yawatoa hofu wajawazito kuhusiana na athari za minara ya mawasiliano
MAMLAKA ya Mawasiliano nchini (TCRA), imesema kuwa mionzi inayotokana na minara ya mitandao ya simu za...
Askofu atunga kitabu na akikanusha Mungu kutokuwa Muislamu wala Mkristo
Askofu maarufu wa kanisa la kipentekoste Carlton Pearson alitoa kitabu chenye kichwa cha habari. GOD IS NOT...
Mwaka mmoja wa Chinga One…..salamu toka Jukwaa Huru Media
mwonekano wa blog ya Chinga One, wakati inapotimiza mwaka mmoja More...
Uko wapi utu wa wasanii katika matatizo ya Sajuki?
Sajuki ni miongoni mwa wasanii wachanga ambao wamekuwa wakifanya vyema katika tasnia ya filamu nchini, kabla More...
Simba, Yanga, mashabiki wetu na hali halisi ya soka letu
Hizi ni baadhi ya picha ambazo nimekutana nazo katika mitandao mbalimbali zenye kuwaonyesha mashabiki wa vilabu vyetu vikongwe humu nchini mwetu...BASATA waomboleza kifo cha Kanumba
BASATA inaungana na familia za wafiwa na wasanii wote nchini kwa maombolezo ya msiba huu mkubwa na wa kihistoria. Kufiwa na..Binti wa miaka 12 aiba simu 30 na kuficha kwenye gauni
wafanyakazi wakikagua mzigo huo Binti mmoja mwenye umri wa miaka 12 nchini Hong Kong, amekamatwa kwa wizi wa More...











Waliochangia hivi karibuni